mapishimapishi

mapishimapishi

Ijumaa, 11 Julai 2014

Jinsi Ya Kupika Shurba Ya Nyama Ya Mbuzi

Shurba Ya Nyama Ya Mbuzi

 Nyama ya mbuzi ya mafupa au ya ng’ombe       Kilo moja
Mafuta                                                               2 vijiko vya supu
Vitunguu maji (vikate vidogo vidogo)                   2
Nyanya (kata ndogo ndogo)                               1
Thomu na tangawizi iliyosagwa                           2 vijiko vya supu
Bizari ya pilau ya unga (Jeera)                            1 kijijo cha chai
Gilgilani ya unga (Dania)                                     ½  kijiko cha chai
Pilipili manga ya unga                                          1 kijiko cha chai
Mdalasini wa unga                                              ¼ kijiko cha chai
Kotmiri (iliyokatwa ndogo ndogo)                       kiasi
Nanaa (iliyokatwa ndogo ndogo)                        kiasi
Chumvi                                                              kiasi
Siki                                                                    3 vijiko vya supu  
Shayiri (Oats) au *                                             2 vikombe
* ikiwa shayiri nzima nzima, basi roweka kwa  muda wa masaa na uchemshe mpaka ziive. 
   

Jumatano, 7 Mei 2014

HAKIKA UKILA HIVI VYAKULA UTAPATA NGOZI NYORORO NA YENYE AFYA NA LAINI



Foods to Eat Every Day for Perfect Skin

1. Red bell peppers

Red bell peppers
Red bell peppers are a tasty vegetable that can be enjoyed either cooked or raw. One red bell pepper contains more than 100% of your daily vitamin C needs. It also contains significant amounts of dietary fiber and vitamin B6. Moreover, it is rich in carotenoids that can help prevent wrinkles and increase blood circulation to your skin, helping it look more youthful. Due to their carotenoids, red bell peppers are also great to fight acne.

2. Dark chocolate

Dark chocolate
This is one of my favorite foods to eat every day for perfect skin! Dark chocolate is rich in antioxidants, fatty acids and flavanols that promote glowing skin. The antioxidants in dark chocolate will help reduce roughness in your skin and protect it against sun damage. Moreover, cocoa relaxes arteries, increasing blood circulation that leads to healthier skin.
I usually buy cocoa powder or raw cacao for less fat. And if you like dark chocolate, eat your ounce of dark chocolate every day and make sure you choose at least 80% cacao content in order to avoid milk and added sugars found in a traditional chocolate bar.

3. Salmon

Salmon
Salmon is an excellent food to fight stress, anxiety, and depression. Salmon also provides most of your daily vitamin D needs. And as you may already know, Vitamin D is responsible for keeping your heart, bones, colon and brain healthy. It also helps prevent colon cancer, anxiety, depression, heart disease and bone disease.


4. Coconut oil

Coconut oil
Coconut oil is one of the richest sources of saturated fat with about 90 percent of calories as saturated fat. It contains lauric acid, a powerful antibacterial and antiviral agent that keeps away viruses, infections, inflammation and acne. Coconut oil is also rich in essential fatty acids and Vitamin E, which are perfect for keeping your skin moist, soft, and wrinkle-free.

5. Green tea

Green tea
Well, so I know green tea is actually a beverage, but tea leaves come from a plant! Even though I love black tea, I drink green tea every day because I know that it is a great source of antioxidants and a unique amino acid, L-theanine that helps relax your body and lower stress.
When the tea is hot, the bionic brew releases catechins, a kind of antioxidant with proven anti-cancer and anti-inflammatory properties. Green tea may also reduce your risk of developing high blood pressure. Drink 3 or more cups of tea every day for better results.

6. Spinach

Spinach
Spinach is a healthy and nutrient-rich food you should certainly include in your everyday diet. You may hate spinach, but it is a wonderful source of iron, folate, chlorophyll, Vitamin E, magnesium, Vitamin A, fiber, plant protein, and Vitamin C. Due to their antioxidant abilities, Vitamins C, E, and A are especially great for your skin.
Spinach contains antioxidants that fight against all types of skin problems. Add it to your everyday diet and see what happens. By eating spinach, you’re just cleaning your skin from the inside out!


7. Seeds

Seeds
Chia seeds, hemp seeds, sunflower seeds, pumpkin seeds, and flax seeds are all great for your skin. Pumpkin seeds and sunflower seeds are both rich in selenium, Vitamin E, magnesium and protein. Selenium and protein keep all wrinkles away, Vitamin E enhances moisture in your skin and magnesium lowers your stress levels. The healthy Omega 3 fatty acids in flax, chia and hemp seeds are perfect for fighting wrinkles and acne. Plus, these seeds are rich in protein.

Jumanne, 29 Aprili 2014

Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo


Kula vyakula asili inazidisha miaka ya wagonjwa wa moyo
Wanasayansi nchini Marekani wanasema watu waliowahi kupata maradhi ya moyo wanaweza kuishi maisha marefu iwapo watakula zaidi vyakula ambavyo havijapitia viwandani.
Watafiti walichunguza zaidi ya watu elfu nne waliowahi kupata mshituko wa moyo na kubaini kuwa wana uwezekano mkubwa wa kuishi miaka tisa zaidi kama watakula vyakula hivyo .
Vyakula ambayo havijapitia viwandani vina nyuzinyuzi ambazo tayari imethibitishwa kuwa husaidia katika kuwezesha binadamu kwenda haja bila matatizo.
Vyakula ambayo vina nyuzinyuzi hizo ni kama vile matunda, mboga na nafaka.
Hatahivyo wataalam wanasema watu katika mataifa mengi hawali vyakula hivyo kwa wingi.

Ijumaa, 4 Aprili 2014

FAIDA 10 ZA TUNDA LA PERA


Pera
Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana na ugumu wake wakati wa kuyatafuna pamoja na kuwa na mbegu mbegu nyingi. Hata hivyo matunda haya yana faida kubwa sana kwa afya ya mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo ni faida kumi za mapera.
1. Utajiri wa Vitamin C:
Mapera ya utajiri mkubwa wa Vitamin C ambayo ni muhimu sana katika mwili wa mwanadamu.
2. Ni kinga nzuri ya kisukari.
Ulaji wa watu wengi unawaweka katika hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari lakini matumizi ya mapera yatakupunguzia hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari Hii ni kwa sababu mapera yana utajiri mkubwa sana wa Fibre.
Fibre ni muhimu sana katika kupunguza kiasi cha sukari kwenye damu. Vilevile ni muhimu sana katika kuusafisha mfumo wa usagaji
3. Kuimarisha Uwezo Wa Kuona
Mapera yana utajiri mkubwa sana wa Vitamin A au Retinol ambayo ni muhimu sana katika kusaidia kuona vizuri.
Hivyo basi kama ilivyo kwa karoti, mapera yanasaidia sana katika kuongeza na kuimarisha uwezo w a mtu kuona.
4. Kusaidia katika Uzazi
Mapera yana madini yaitwayo Folate ambayo husaidia katika kurutubisha mayai ya uzazi..
5. Kurekebisha Kiwango Cha Shinikizo La Damu
Madini ya Potassium yaliyomo ndani ya mapera yanasaidia katika ku-normalise shinikizo la damu ( Blood Pressure )
Ndizi na mapera vina kiwango cha potassium sawa.
6. Utajiri mkubwa wa Madini Ya Shaba
Mapera yana madini ya shaba ( Trace element copper ) ambayo ni mazuri sana katika ku- maintain ufanyaji kazi wa tezi ziitwazo thyroid.
Tezi za thyroid zisipo fanya kazi vizuri zinaweza kusababisha matatizo mengi ya kiafya kwa mwanadamu.
7. Utajiri wa Madini Ya Manganese
Mapera yana utajiri mkubwa wa madini ya manganese ambayo yanausaidia mwili katika kunyonya ama kupata virutubisho muhimu kutoka kwenye vyakula tunavyo kula.
Chakula tunacho tumia kikitumika vizuri mwilini, tunapata virutubisho vyote muhimu kama vile biotini, vitamin nakadhalika..
8. Kuusadia mwili na akili katika ku-relax
Mapeara yana utajiri mkubwa wa madini ya magnesium ambayo hufanya kazi ya kuvifanya akili na mwili wa mwanadamu viweze ku relax. Unashauriwa kutumia mapera baada ya kazi nzito. Hii itasaidia katika kuufanya mwili na akili yako kupumzika
9. Mapera ni muhimu katika afya ya akili ya mwanadamu.
Vitamin B3, Vitamin B6 ambazo zinapatikana ndani ya tunda la mpera muhimu katika kuimarisha afya ya akili ya mwanadamu.
Mapera yatasaidia kuufanya ubongo wako u relax.
10. NI MUHIMU KATIKA NGOZI YA MWANADAMU.
Vitamin C, viondoa sumu na karotini ambavyo vyote vinapatikana ndani ya tunda la mpera ni muhimu sana katika kuimarisha afya ya ngozi.
Kama hiyo haitoshi, kokwa la mpera huwa linatumika katika kutengeneza vipodozi na losheni kwa ajili ya matumizi ya mwanadamu.
KWA USTAWI WA AFYA YAKO, ANZA KUTUMIA TUNDA LA MPERA SASA

Jumatatu, 17 Machi 2014

VYAKULA VINAVYOCHANGIA UKOSEFU WA USINGIZI


Kahawa.
Utafiti umethibitisha kuwepo uhusiano kati ya ukosefu wa usingizi na matatizo ya kiafya kama vile ugonjwa wa moyo, ugonjwa wa kisukari na saratani
KINACHOSABABISHA UKOSEFU WA USINGIZI
Ingawa msongo wa mawazo nao unatajwa kuchangia mtu kukosa usingizi, lakini mlo unaweza kuwa ndiyo sababu kubwa inayoweza kumkosesha mtu usingizi, na hasa vyakula vitano vifuatavyo:

Bia
POMBE
Unywaji wa bia moja ama mbili unaweza kukufanya upate usingizi haraka, hivyo kukufanya uamini kuwa pombe inasaidia mtu kupata usingizi haraka. Ingawa unaweza kupata usingizi haraka kwa kunywa pombe, lakini utafiti umeonesha kuwa usingizi huwa unakata usiku wa manane, au sehemu ya pili ya usingizi na kukuamsha asubuhi ukiwa mchovu.
KAHAWA
Inajulikana kwamba kahawa ndiyo chanzo kikuu cha kilevi aina ya ‘caffeine’. Inaelezwa kwamba kilevi hiki hudumu mwilini kwa muda usiopungua saa tano, hivyo kutegemeana na wakati gani umetumia kahawa, athari zake huweza kuonekana hadi usiku wakati wa kulala.

Hivyo kwa mtu mwingine, hasa mwenye matatizo ya usagaji chakula tumboni (poor metabolism), kikombe cha kahawa utakachokunywa mchana, athari zake zinaweza kuonekana hadi usiku wakati wa kulala, kwani unaweza kujikuta unapoteza usingizi wakati kahawa ulikunywa mchana au asubuhi.

Chokoleti nyeusi.
CHOKOLETI NYEUSI (Dark chocolate)

Ingawa chokoleti kwa kawaida, huwa na faida ya kuimarisha kinga ya mwili kwa kuwa na kiasi kingi cha virutubisho aina ya ‘antioxidant’, lakini pia ina kiwango kingi cha ‘caffeine’ ambacho kinaweza kuchangia ukosefu wa usingizi kama tayari unalo tatizo hilo.

VYAKULA VYENYE VIUNGO VINGI

Vyakula vilivyoungwa kwa viungo vingi vya aina mbalimbali, zikiwemo pilipili, huchangia tatizo la chakula kushindwa kusagika vizuri tumboni hali ambayo humfanya mtu kupata usingizi kwa tabu. Inaelezwa kuwa kirutubisho aina ya ‘capsaicin’ kinachopatikana ndani ya pilipili, huongeza joto la mwili na ndicho kinachochangia mtu kukosa usingizi.

VYAKULA VYENYE MAFUTA

Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi pia navyo vinatajwa kuchangia ukosefu wa usingizi au usingizi wa kukatika mara kwa mara. Hivyo katika kushughulikia tatizo la kukosa usingizi usiku, huna budi kujiepusha na ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi, hasa vile vya kukaanga, muda mfupi kabla ya kupanda kitandani kulala.

USITUMIE VIDONGE

Wengi wenye matatizo ya kukosa usingizi hukimbilia kumeza vidonge vya usingizi. Kitendo cha kumeza vidonge vya usingizi huwa hakiondoi tatizo, bali husogeza mbele tatizo kwa kuudanganya ubongo. Zaidi wanaotumia vidonge ili kupata usingizi, huamka wakiwa wamelewa.

DONDOO ZA KUKUSAIDIA KUPATA USINGIZI

Kabla ya kulala, kunywa glasi ya maziwa moto au ya uvuguvugu. Au kula karanga au siagi ya karanga (peanut butter). Au kula zabibu kadhaa. Vyakula hivyo, ingawa vipo na vingine vingi, vinatajwa kuwa na virutubisho vinavyozalisha homoni za usingizi kwa wingi.

Aidha, kwa wenye matatizo ya kukosa usingizi kwa muda mrefu, wanashauriwa kulala kwenye chumba chenye giza kabisa, kujiepusha na kuangalia TV wakiwa wamelala kitandani, kulala mbali na simu, redio, saa na vitu vingine vyenye sumaku. Vitu hivi vimeonekana kuharibu mtiririko wa usingizi kwa njia moja au nyingine hivyo kwa mtu mwenye matatizo ya kukosa usingizi akaenavyo mbali.

Alhamisi, 13 Machi 2014

FAHAMU MAGONJWA YANAYOWEZA KUTIBIKA KWA KULA NDIZI


  Ndizi ni aina ya tunda linalopendwa na watu wengi yawezekana huwa unakula tunda hili bila kujua faida zake, lakini pia yawezekana wewe hupendi kabisa kula ndizi mbivu, lakini ni vyema kufahamu kuwa tunda hili ni muhimu sana kwa afya yako inasaidia kama wewe hujapatwa na vidonda vya tumbo, kwa kula ndizi mara kwa mara unajipa kinga madhubuti na kama tayari umeathirika na vidonda, kwa kula ndizi utajipa ahueni kubwa.


Kwa mujibu wa utafiti wa kisayansi kuhusu tunda hili, ndizi ni chanzo kikubwa cha madini aina ya ‘Potassium’, ambayo ni muhimu sana katika kuweka shinikizo la damu mwilini katika hali yake ya kawaida (Normal Blood Pressure), na huboresha utendajikazi mzuri wa moyo. Ndizi moja tu kwa siku inaweza kukukinga na maradhi ya shinikizo la damu na matatizo ya moyo.

Jumapili, 9 Machi 2014

Muujiza ya matibabu kwa maji ya moto kunywa magonjwa yanatibiwa na maji ya moto


 


 Click image for larger version. 

Name: warm_water.jpg 
Views: 0 
Size: 13.7 KB 
ID: 143690
- pumu= asthma

- shinikizo la damu= hbp 


- migraine / kichwa= migraine/ headache


- ugonjwa wa sukari= diabetes 


- upungufu wa damu= anemia


- maumivu nyuma= back pain


- mawe katika figo= urinary calculus 


- maambukizo wa haja ndogo= urinary tract infection 


- cholesterol= cholesterol


- baridi yabisi & ugonjwa wa mifupa= rheumatism & arthritis 


- kiharusi =stroke 


- udhaifu wa mwili =sexual and body weakness


- kuchoka & uchovu = tiredness & fatigue


- tonsili =tonsillitis 


- vijidudu vya tumbo = gastroenteritis (stomach virus)


- mafua/homa =colds, flu & fever 


- kukosa usingizi= insomnia (lack of sleep) 


- kichome kwenye roho= heartburn 



- kidonda tumboni =stomach ulcer


- kuvimbiwa (ugumu kupata haja kubwa) =constipation


- kutetemeka mwili kutokana na umri= parkinsonism 


- kupoteza nywele (upaa) =hair loss (baldness)


- magonjwa ya ngozi=skin diseases (psoriasis)


- kasoro ya ubongo =alzheimer (defects of the brain) 


- maradhi ya moyo =heart disease 


- saratani= cancer 


- usafisha heidh ya kila mwezi ya wanawake= purifying women's monthly period
Click image for larger version. 

Name: warm_water.jpg 
Views: 0 
Size: 13.7 KB 
ID: 143690